AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kuonesha kuwa alivutiwa na kibao hicho, Professor J alikisifia na kumueleza Diamond kuwa ni ‘muvi’ la kikubwa sana kisha akamwambia anamheshimu.
“Respect Chibu hii ni muvi la kikubwa,” aliandika mwanamuziki huyo kwenye ukurasa wake wa Instagram. Diamond kwenye wimbo huo amewataja watoto wake ambao anadai kuwa mapenzi yamesababisha ugomvi mpaka anaishia kuwaona mtandaoni na ku-like picha zao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK