Prof Jay Ampa Heshima Mondi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Prof Jay Ampa Heshima Mondi
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Haule ‘Professor J’ ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, juzikati alivutiwa na ngoma mpya ya Diamond Platnumz inayoitwa Inama aliyomshirikisha mwanamuziki Fally Ipupa.

Kuonesha kuwa alivutiwa na kibao hicho, Professor J alikisifia na kumueleza Diamond kuwa ni ‘muvi’ la kikubwa sana kisha akamwambia anamheshimu.

“Respect Chibu hii ni muvi la kikubwa,” aliandika mwanamuziki huyo kwenye ukurasa wake wa Instagram. Diamond kwenye wimbo huo amewataja watoto wake ambao anadai kuwa mapenzi yamesababisha ugomvi mpaka anaishia kuwaona mtandaoni na ku-like picha zao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad