Mbwana Samatta Aingia Kwenye 10 Bora Ulaya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


NA ELBOGAST MYALUKO 
Baada ya ligi 5 bora barani Ulaya kumalizika kwa msimu 2018/19, wafungaji wa magoli wameongozwa na Lionel Messi, ambaye amechukua kiatu cha dhahabu nchini Hispania pamoja na Ulaya baada ya kufunga magoli 36 kwenye La Liga.

Wakati Messi akifunga mabao 36 ni mchezaji mwingine mmoja tu ambaye amefunga magoli zaidi ya 30, ambaye ni Kylian Mbappé wa Paris Saint-Germain, aliyefunga 33, huku washambuliaji wengine wakifunga kuanzia magoli 20 akiwemo Mbwana Samatta.

Wachezaji waliofikisha magoli 20 msimu huu kwenye ligi tano bora Ulaya.

LA LIGA
Messi 36
Benzema na Suarez  21

EPL
Mohamed Salah 22
Aubameyang 22
Sadio Mane 22

LIGUE 1
Kylian Mbappé  33
Nicolas Pépé 22

BUNDESLIGA
Robert Lewandowski 22

SERIE A
Fabio Quagliarella 26
Duván Zapata 23
Krzysztof Piatek 22
Cristiano Ronaldo 21

Kwa upande wa Ligi kuu ya Ubelgiji nahodha wa taifa Stars Mbwana Samatta, amefunga jumla ya magoli 23 hivyo kuwa amezidiwa na wachezaji watatu tu ambao ni Messi, Mbappe na Quagliarella huku akilingana na Duván Zapata.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad