AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
NA ELBOGAST MYALUKO
Baada ya ligi 5 bora barani Ulaya kumalizika kwa msimu 2018/19, wafungaji wa magoli wameongozwa na Lionel Messi, ambaye amechukua kiatu cha dhahabu nchini Hispania pamoja na Ulaya baada ya kufunga magoli 36 kwenye La Liga.
Wakati Messi akifunga mabao 36 ni mchezaji mwingine mmoja tu ambaye amefunga magoli zaidi ya 30, ambaye ni Kylian Mbappé wa Paris Saint-Germain, aliyefunga 33, huku washambuliaji wengine wakifunga kuanzia magoli 20 akiwemo Mbwana Samatta.
Wachezaji waliofikisha magoli 20 msimu huu kwenye ligi tano bora Ulaya.
LA LIGA
Messi 36
Benzema na Suarez 21
EPL
Mohamed Salah 22
Aubameyang 22
Sadio Mane 22
LIGUE 1
Kylian Mbappé 33
Nicolas Pépé 22
BUNDESLIGA
Robert Lewandowski 22
SERIE A
Fabio Quagliarella 26
Duván Zapata 23
Krzysztof Piatek 22
Cristiano Ronaldo 21
Kwa upande wa Ligi kuu ya Ubelgiji nahodha wa taifa Stars Mbwana Samatta, amefunga jumla ya magoli 23 hivyo kuwa amezidiwa na wachezaji watatu tu ambao ni Messi, Mbappe na Quagliarella huku akilingana na Duván Zapata.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK