AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa CNN. Vyanzo vya Usalama na Maafisa kwenye mji huo walieleza kwamba Washambuliaji wapatao 20 hadi 30, waliwasha moto jengo la Kanisa pamoja na majengo mengine jirani na hapo ikiwemo kituo cha huduma za afya,
Shambulio hilo limetokea siku mbili baada ya Wanajeshi wa kikosi maalumu cha Ufaransa kuwaokoa mateka wanne raia wa kigeni huko Kaskazini mwa nchi hiyo katika tukio ambalo Wanajeshi wawili walifariki.
Wanajeshi zaidi kutoka Barsalogho umbali wa Kilometa 45 Kusini mwa Dablo walipelekwa na kuanza msako mara moja juu ya tukio hilo ikiwa ni shambulizi la tatu katika muda wa wiki chache zilizopita dhidi ya makanisa
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK