Neymar Anyang'anywa Unahodha wa Timu ya Taifa ya Brazil

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Neymar amenyang'anywa unahodha wa timu ya taifa ya Brazil katika michezo ya mwezi ujao ya Copa America na badala yake mchezaji mwenzie wa Paris St-Germain Dani Alves atachukua jukumu hilo.

Mwezi huu, mamlaka za soka nchini Ufaransa zilimfungia mechi tatu Neymar baada ya kumshambulia shabiki wakati PSG ilipopambana na Rennes katika fainali ya Coupe de France.

Pia aliripotiwa kugombana na wachezaji wenzake kwenye chumba cha kubadili nguo amenyang'anywa unahodha wa timu ya taifa ya Brazil katika michezo ya mwezi ujao ya Copa America na badala yake mchezaji mwenzie wa Paris St-Germain Dani Alves atachukua jukumu hilo.

Mwezi huu, mamlaka za soka nchini Ufaransa zilimfungia mechi tatu Neymar baada ya kumshambulia shabiki wakati PSG ilipopambana na Rennes katika fainali ya Coupe de France.

Pia aliripotiwa kugombana na wachezaji wenzake kwenye chumba cha kubadili nguo
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad