AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lugalo jijini Dar leo.
Marehemu, aliyekuwa mtaalamu wa kilimo alifanya kazi katika JWTZ na taasisi zake za kilimo kama vile JKT Itende na Mgambo kabla ya kustaafu akiwa Shirika la Elimu Kibaha.
Alikuwa rafiki mkubwa wa Rais Dkt Magufuli ambaye walisoma pamoja tokea darasa la kwanza hadi la saba katika Shule ya Msingi ya Chato mkoani Geita na baadaye elimu ya sekondary katika Seminari ya Katoke, Biharamulo mkoani Kagera.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK