Tumegundua Wakurugenzi 84 Ambao ni Wasimamizi wa Uchaguzi ni Makada wa CCM - Bob Wangwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkurugenzi wa Jukwaa la Katiba nchini, Bob Chacha Wangwe amesema kuwa sababu iliyopelekea kufungua kesi dhidi ya Serikali ni kile kinachodaiwa kuvunjwa kwa katiba kwenye baadhi ya vipengele vinavyowahusisha Wakurugenzi kusimamia uchaguzi kutokana na utafiti walioufanya na kugundua kuwa kuna Wanakurugenzi 84 ambao wanasimamia Uchaguzi Mkuu ni makada wa Chama cha Mapinduzi CCM.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad