AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi wa Jukwaa la Katiba nchini, Bob Chacha Wangwe amesema kuwa sababu iliyopelekea kufungua kesi dhidi ya Serikali ni kile kinachodaiwa kuvunjwa kwa katiba kwenye baadhi ya vipengele vinavyowahusisha Wakurugenzi kusimamia uchaguzi kutokana na utafiti walioufanya na kugundua kuwa kuna Wanakurugenzi 84 ambao wanasimamia Uchaguzi Mkuu ni makada wa Chama cha Mapinduzi CCM.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK