Ulikuwa Unajiuliza Lowassa Yupo Wapi...Aibukia Ujerumani na Mkewe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri mkuu Mstaafu Edward Lowassa akiwa na mkewe Mama Regina Lowassa nchini Ujerumani. Mhe Lowassa yuko nchini Ujerumani kwa shughuli zake mbalimbali.

Hata hivyo baada hahijaelezwa kitu gani kilichompelea kiongozi huyo wa zamani nchini humo hadi kufikia sasa.

Lowassa hajaonekana hadharani kwa kipindi kirefu tangu alipotangaza uamuzi wake wa kurejea Chama cha Mapinduzi (CCM) akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilichompa dhamani ya kugombea Urais mwaka 2015.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad