Kutoweka Kwa Azory Gwanda ni Miongoni Mwa Visa 10 Duniani Vinavyohitaji Dharura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanahabari Azory Gwanda aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha yapata zaidi ya siku 500 zilizopita, tukio lake limeorodheshwa miongoni mwa visa kumi vya dharura

Orodha hiyo iko chini ya kundi linalopigania uhuru wa vyombo vya habari na umoja wa vyombo huru vya habari Duniani

Kundi hilo linaundwa na makundi 30 ya wahariri na wachapishaji vikiwemo vyombo vya habari kama India Today, Reuters, Quartz na The financial times

Vyombo vingine ni TIME na Washington Post ambavyo kwa pamoja vinatoa matamko ya kuwatetea wanahabari waliohatarini
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad