AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanahabari Azory Gwanda aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha yapata zaidi ya siku 500 zilizopita, tukio lake limeorodheshwa miongoni mwa visa kumi vya dharura
Orodha hiyo iko chini ya kundi linalopigania uhuru wa vyombo vya habari na umoja wa vyombo huru vya habari Duniani
Kundi hilo linaundwa na makundi 30 ya wahariri na wachapishaji vikiwemo vyombo vya habari kama India Today, Reuters, Quartz na The financial times
Vyombo vingine ni TIME na Washington Post ambavyo kwa pamoja vinatoa matamko ya kuwatetea wanahabari waliohatarini
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK