Wafungwa 25 Wafariki Baada ya Kutokea Ghasia Gerezani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Katika tukio hilo Askari wapatao 20 wamejeruhiwa wakati wakifanya jitihada za kutuliza ghasia hizo katika gereza la Acarigua.

Gereza hilo lilijengwa kwa ajili ya kuhifadhi Wafugwa 250 lakini kwa sasa lina takribani Wafungwa 540.

Matukio ya ghasia na vifo wametokea kwa miaka 3 mfululizo nchini Venezuela ambapo Agosti, 2017 wafungwa 38 walifariki baada ya kuzuka kwa mgomo gerezani. Machi 2018, Wafungwa 68 walifariki katika ghasia zilizopelekea mlipuko wa moto.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad