AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zitto Kabwe ametoa rai hiyo Bungeni jijini Dodoma wakati wa maswali na majibu, ambapo aliihoji Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi juu ya tatizo hilo, "bado kuna unyanyasaji wa wananchi kuhusu uraia, kwanini Serikali isitoe vitambulisho haraka", amehohi Zitto.
Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema kuwa, "kuhusu unyanyasaji wa wananchi tulifanyia kazi, nimpongeze kwa rai yake, aliyosema ni rai ya Serikali kufikia malengo wananchi wapate vitambulisho".
Kwa sasa Bunge linaendelea jijini Dodoma ambapo Mawaziri mbalimbali wameendelea kuwasilisha makadirio ya Bajeti ya Wizara yao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK