Zitto Ambana Waziri Kuhusu Usumbufu wa Uraia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameitaka Serikali kuhakikisha inatoa kwa haraka vitambulisho vya taifa ili kuondokana na usumbufu wanaopata wananchi wanaoishi maeneo ya mpakani ambao wamekuwa wakisumbuliwa kuhusiana na suala la uraia.

Zitto Kabwe ametoa rai hiyo Bungeni jijini Dodoma wakati wa maswali na majibu, ambapo aliihoji Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi juu ya tatizo hilo, "bado kuna unyanyasaji wa wananchi kuhusu uraia, kwanini Serikali isitoe vitambulisho haraka", amehohi Zitto.

Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema kuwa, "kuhusu unyanyasaji wa wananchi tulifanyia kazi, nimpongeze kwa rai yake, aliyosema ni rai ya Serikali kufikia malengo wananchi wapate vitambulisho".

Kwa sasa Bunge linaendelea jijini Dodoma ambapo Mawaziri mbalimbali wameendelea kuwasilisha makadirio ya Bajeti ya Wizara yao.



----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad