Askari waliotajwa kwa JPM kula rushwa wafikishwa Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muajiriwa wa TRA, Charity Ngalawa, Askari Polisi H 4086 PC Simon Sungu na Askri Polisi H 4810 PC Ramadhn Uweza kutoka Kituo cha Polisi Oysterbay wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kosa moja la kushawishi rushwa ya Milioni 2.
Watuhumiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo na TAKUKURU baada ya kutajwa na Wafanyabiashara walipokuwa kwenye mkutano wa Rais John Magufuli Juni 7, 2019.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad