AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muajiriwa wa TRA, Charity Ngalawa, Askari Polisi H 4086 PC Simon Sungu na Askri Polisi H 4810 PC Ramadhn Uweza kutoka Kituo cha Polisi Oysterbay wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kosa moja la kushawishi rushwa ya Milioni 2.
Watuhumiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo na TAKUKURU baada ya kutajwa na Wafanyabiashara walipokuwa kwenye mkutano wa Rais John Magufuli Juni 7, 2019.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK