Bibi wa miaka 81 aweka rekodi kwa kuendesha Baiskeli umbali wa KM 1,545

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bibi mzee mwenye umri wa miaka 81 amekuwa mtu wa kwanza wa umri kama huo kuendesha baiskeli kutoka pembe moja ya Uingereza hadi nyingine, ukiwa ni umbali wa kilomita 1,545.

Mavis Paterson ambaye anaishi Scotland alichukua muda wa siku 23 kukamilisha safari hiyo ambayo inakisiwa kuwa ngumu zaidi. Kitabu cha rekodi ya dunia cha Guinness kimethibitisha kuwa ajuza huyo amefaulu kuwa mtu mwenye umri wa juu zaidi kukamilisha safari hiyo.

Paterson alifanya safari hiyo kama kumbukumbu kwa watoto wake wanne waliofariki miaka ya arobaini wote katika muda ya miaka minne. Ajuza huyo amefaulu kukusanya dola 64,000 itakayotumika kwenye taasisi ya ugonjwa wa saratani, Macmillan Cancer Support.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad