AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aidha, mahakama hiyo imemuonya Wema kwa kitendo chake cha kukiuka masharti ya dhamana na kumtaka kutorudia tena huku kesi yake ikitajwankusikikizwa tena Julai 4, 2019.
Wema alionekana kuficha uso wake mara nyingi alipokuwa mahakamani hapo na baada ya kuachiwa kwa dhamana, aliwakwepa mapaparazi kwa kukimbia huku akipitia mlango wa nyuma wa mahakama hiyo ili asipigwe picha na wanahabari.
Wema anakabiliwa na mashtaka ya kujipiga picha za ngono na mpenzi wake kisha kuzisambaza kupitia mitandao ya kijamii
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK