AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ikiwa ni mwezi mmoja tu tangu Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania na Reginald Mengi ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa makampuni ya habari ya vyombo vya habari ya IPP afariki dunia,Mbunge wa viti Maalum mkoa wa Manyara Ester Mahawe amefichua alichoelezwa na Mengi walipokutana kabla ya kifo chake.
Akizungumza kwenye Kongamano la wajasiriamali wanawake na Vijana mjini Katesh-Hanang mkoani Manyara,Mahawe alisema alipokutana na Mengi alimwambia nataka kuwa kama wewe lakini Mengi akamwambia usitamani kuwa kama mimi bali tamani kuwa zaidi ya mimi.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK