AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Utakumbuka hapo jana Klabu ya Yanga imesema haitoshiriki michuano ya Kagame Cup yatakayofanyika mwezi Julai 2019, jijini Kigali, Rwanda kwa sababu, wachezaji wengi wamemaliza mikataba, wengine wapo na timu ya taifa, na waliobaki wapo mapumziko.
Wakati hayo yakijiri, tayari Simba SC ilishatangaza kuwa haitoshiriki mashindano hayo, uamuzi huo umetokana na ratiba ya mashindano hayo kuingiliana na ratiba ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi ya Bingwa AFRIA (CAFCL) na Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (TPL) 2019/2020.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK