Chris Brown mbioni kupata mtoto wa pili na Ex wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ umeripoti kuwa mwimbaji wa miondoko ya RnB Chris Brown anatarajia kupata mtoto wa pili na aliyekuwa mpenzi wake mwanamitindo Ammika Harris ambaye aliripotiwa kuwa naye kwenye mahusiano miezi kadhaa iliyopita.

Inaripotiwa kuwa mpenzi wa sasa wa Chris Brown ambaye ni Indyamarie Jean Pelton ameachana na staa huyo baada ya kupata taarifa kuwa Chris amempa ujauzito mpenzi wake wa zamani Ammika huku ikidaiwa kuwa Ammika alionekana mara ya mwisho akiwa na Chris ni January mwaka huu nchini Ufaransa.

Chris Brown na mwanae Royalty
Chris Brown na mwanae Royalty

Chris Brown alibahatika kupata mtoto wa kike ambaye ni Royalty ambapo alizaliwa May 27,2014 na mwanadada Nia Guzman mwenye uraia wa Brazil.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad