R Kelly kapata tuzo kupitia filamu iliyozua sakata la unyanyasaji wa kingono

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Inaelezwa kuwa Filamu ya “Surviving R Kelly” iliyoachiwa rasmi January 3,2019  ya mkongwe wa muziki wa RnB Robert Kelly imeshinda tuzo ya “Best Documentary” kwenye tuzo za filamu za MTV za mwaka huu wa 2019 nchini Marekani.

Filamu hiyo ambayo iliibua maovu mengi ya mwimbaji huyo na kuchafua kazi yake ya muziki na kuibuka kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono kwa wanawake 10 waliokuwa chini ya umri wa miaka 18 ambapo R. Kelly alikanusha tuhuma hizo na kusema kuwa hazikua na ukweli wowote inatajwa kuangaliwa na watazamaji zaidi ya Mil.22 katika mtandao wa You Tube.

Inaripotiwa hadi sasa nguli huyo amefunguliwa mashtaka zaidi ya 11 ya unyanyasaji wa kingono pamoja na kuwekwa gerezani mara mbili huku ikielezwa kuwa watu wengi wamejifunza vitu vingi kupitia filamu hiyo ya ‘Surviving R Kelly”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad