AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo Juni 21, 2019 Makonda amekabidhi hati ya eneo aliloahidi kwa Yanga. Pia amekabidhi eneo kwa TFF ambalo aliahidi jana kwenye harambee ya kuichangia timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kwa ajili ya kujenga kituo cha michezo.
"Uwanja niliowapa Yanga thamani yake ni Tsh. Mil. 700 na kiwanja nilichowapa TFF thamani yake ni Tsh Bil. 1.5 jumla ni Bil 2.2," amesema RC Makonda.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK