Manula Kuendelea Kuitumikia Simba Asaini Mkataba wa Miaka Mitatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MLINDA mlango wa Simba, Aishi Manula ameongeza mkataba wa miaka mitatu kuendelea kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Kariakoo, Msimbazi.

Manula anakuwa mchezaji wa pili kutambulishwa rasmi kuongeza mkataba ndani ya klabu hiyo baada ya jana mchezaji John Bocco kutangazwa rasmi kwamba ameshamalizana na klabu hiyo kwa kuongeza mkataba wa maika miwili.


Kwa sasa Manula yupo nchini Misri akiwa na timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' ambayo imeweka kambi kwa ajili ya michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza Juni 21.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad