Mrembo POSHY Qeen Awataja Wanaoongoza Kwa Chuki..Kisa Wezele Lake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MREMBO ambaye alijizolea umaarufu hivi karibuni baada umbo lake kuonekana kuwavutia watu mbalimbali Bongo, Jacqueline obeid ‘Poshy’ amewataja wanawake kama ndiyo watu wanaoongoza kwa chuki na roho mbaya na sio wanaume.



Poshy aliiambia Za Motomoto kuwa amegundua kuna wanawake wengi hawapendi kuona wenzao wanaendelea hivyo wataweka kila aina ya chokochoko ili kutibua.



“Watu tu wanashindwa kuelewa kuwa huku duniani kila mtu ana bahati yake hivyo ukiona mwenzako anafanikiwa au mwanamke mwenzako anafanya vizuri mshike mkono uzidi kumfanya ainuke ili akuinue na wewe na sio kumponda kila kukicha maana huo unaitwa wivu,” alisema Poshy ambaye tayari amejikwamua kwa kufungua duka lake la kuuza nguo za ndani.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad