Mwanafunzi amuua mwenzake kwa kumpiga jiwe kichwani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Rashid Said (17) amefariki dunia baada ya kudaiwa kupigwa jiwe lililompata kichwani eneo la kisogoni na mwenzake ambae ni mwanafunzi wa shule ya sekondari Nyumbu huko Kibaha mkoani Pwani. 


Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Wankyo Nyigesa amesema kuwa tayari jeshi la Polisi linamshikilia mwanafunzi huyo ili kuendelea na taratibu za kisheria. 


Alieleza kuwa Juni 7 mwaka huu maeneo ya Pichandege marehemu alijeruhiwa kwa kupigwa jiwe baada ya tukio hilo alipelekwa katika hospital ya rufaa ya Tumbi kwa matibabu ambapo siku iliyofuata alifariki dunia. 


Mwili wa marehemu umepelekwa hospital ya taifa ya Muhimbili kwa uchunguzi zaidi. Jeshi la polisi Pwani limetoa wito kwa jamii kuacha kujichukulia sheria mkononi ili kujiepusha na matatizo ama kujikuta wakichukuliwa hatua za kisheria.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad