Namuona Mpenzi Wangu Kama Taa Kwangu kwa Jinsi Alivyo Mzuri- Rayvanny

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamuziki mahiri kutoka Kundi la WCB, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ amesema kuwa mpenzi wake ambaye pia amezaa naye motto mmoja Fahyma, amekuwa kama taa kwake kutokana na uzuri alionao.



Akizungumza na Za Motomoto, Rayvanny alisema anajiona ni mwanaume mwenye bahati kuwa na msichana mrembo kama mpenzi wake huyo na ni mwanamke ambaye anampenda sana. “Kwa kweli mimi mwenyewe Fahy

(Fahyma) nikimuangalia nasikia raha sana, anakuwa kama taa kwangu na sio kwangu hata kwa watu wengine wananiambia nina kifaa cha nguvu kabisa,” alisema Rayvanny.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad