AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wa instagram wa Ommy Dimpoz ameandika caption ambayo wengi wameipigia mstari na kusema kuwa inawezekana yule ni mtoto wake, Ommy hakutaja jina la mtoto huyo lakini alionekana akiwa nae Aiport ya Barcelona kama wanasafiri nae hivi.
Ommy Dimpoz ni miongoni mwa mastaa ambao hawapendi kuweka mambo yao hadharani ingawa ni mtu wa kupost picha mara kadhaa kupitia ukurasa wake wa instagram, hivyo inasemekana huyo ni mtoto wake kutokana na staa huyo kutumia picha na video akiwa na mtoto kudai kuwa ndio sababu inayomfanya aende sana Ulaya.
Ommy Dimpoz amempost mtoto huyo akiwa nae na kuandika hivi “Vipi Dengue Imeisha Nirudi nae? Haya Nafikiri yale Maswali ya unafanya nini Ulaya kila siku YAMEISHA😁😁” ameandika Ommy Dimpoz kupitia ukurasa wake wa Instagram.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK