AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chris Brown aliwahi pia kuongea kuhusu kolabo hiyo na Drake usiku wa sherehe ya birthday yake May 5,2019 na wengi hawakuamini ujio wa ngoma hiyo, sasa kupitia ukurasa wa instagram yake amethibitisha hilo na kuandika ‘msimu huu wa joto naona kama joto litaongezeka”
Mpaka sasa wawili hao hawajawahi kuongea kuhusu tofauti zao ingawa Chris Brown aliwahi kuwa mapenzini na Rihanna na baadae kuachana ukaribu wa Drake na Rihanna ulileta maswali mengi na wengi kudai kuwa wawili hao walikuwa wanamahusiano ya kimapenzi pia kitu ambacho kilidaiwa kutomfurahisha Chris Brown.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK