VIDEO: Alichokisema Ester Bulaya Baada ya Halima Mdee Kufanyiwa Upasuaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Tunayo stori kutokea kwa Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya ambapo amezungumzia hali ya kiafya ya mbunge mwenzie wa Kawe, Halima Mdee ambaye anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan.

Mdee ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, alifanyiwa upasuaji siku ya Ijumaa, Juni 7, 2019 akiwa amelazwa hospitalini hapo tangu Alhamis, wiki hii.

Mdee ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake (BAWACHA) Taifa na , alilazimika kufanyiwa upasuaji baada ya kushauriwa na madaktari wake kwa ajili ya kutibu ugonjwa uliokuwa unamsumbua.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad