AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tunayo stori kutokea kwa Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya ambapo amezungumzia hali ya kiafya ya mbunge mwenzie wa Kawe, Halima Mdee ambaye anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan.
Mdee ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, alifanyiwa upasuaji siku ya Ijumaa, Juni 7, 2019 akiwa amelazwa hospitalini hapo tangu Alhamis, wiki hii.
Mdee ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake (BAWACHA) Taifa na , alilazimika kufanyiwa upasuaji baada ya kushauriwa na madaktari wake kwa ajili ya kutibu ugonjwa uliokuwa unamsumbua.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK