AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mfanyabiashara Azim Dewji na waandishi watatu wa vituo vya televisheni vya ITV, Chanel Ten na Azam TV wamenusurika kifo leo Julai 27, majira ya asubuhi baada ya gari lao kuacha njia na kuingia vichakani Kijiji cha Nyaminywili, Rufiji.
Azim Dewji na waandishi hao walikuwa wakitoka katika uzinduzi wa mradi wa umeme mto Rufiji na wote hali zao zinaendelea vizuri.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK