Harmonize Afunguka Tetesi za Kuwa Amemsign Q Chief Kwenye Lebo yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii kutoka WCB Harmonize anayetamba na wimbo wake wa My Boo aliomshirikisha mkongwe wa muziki wa bongo fleva Q Chief amesema kuwa ‘hajamsaini’ msanii huyo bali amemsaidia gari aina ya Porte kwaajili ya usafiri ambao utamsaidia katika kazi zake za muziki.

Harmonize ambaye ametoa mfululizo wa nyimbo zake yaani EP siku ya jana akiwa amemshirikisha Q Chief, amesema kuwa tatizo la Q Chief ni la kijamii hivyo hatakiwi kuachwa peke yake kwani ni msanii ambaye alikuwa anaushawishi  kwa vijana wengi kuingia katika muziki na kuna ambao tayari wamepata matunda ya sanaa ya muziki.

Aidha, amesema kuwa, mkongwe huyo wa muziki wa bongo fleva atakuwepo katika tamasha la wasafi festival ambapo watatumbuiza nyimbo alizomshirikisha katika mfululizo wa nyimbo ‘EP’ katika jukwaa la wasafi festival.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad