AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutoa Lebo ya WCB Msanii Mbosso ameamua kumlipua Mwijaku kwa kusema kuwa kwenye maisha yake haogopi mwanaume mwenye kipara.
Maneno hayo yamekuja baada ya Mbosso kusema kuwa sasa hivi ameacha kupost vitu vyake vya kimaendeleo kwa sababu akipost kuna watu wanadandia na kuanza kuongea wasiyoyajua.
Alipoulizwa na Mwandishi wa habari kwahiyo umeacha kupost sababu ya Mwijaku', Mbosso alijibu "Siwezi kumuogopa mwanaume mwenye kipara maishani mwangu"
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK