Mbosso Amfungukia Mwijaku 'Siwezi Muogopa Mwanaume Mwenye Kipara Kama Mwijaku"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoa Lebo ya WCB Msanii Mbosso ameamua kumlipua Mwijaku kwa kusema kuwa kwenye maisha yake haogopi mwanaume mwenye kipara.

Maneno hayo yamekuja baada ya Mbosso kusema kuwa sasa hivi ameacha kupost vitu vyake vya kimaendeleo kwa sababu akipost kuna watu wanadandia na kuanza kuongea wasiyoyajua.

Alipoulizwa na Mwandishi wa habari kwahiyo umeacha kupost sababu ya Mwijaku', Mbosso alijibu "Siwezi kumuogopa mwanaume mwenye kipara maishani mwangu"
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad