Mgogoro wa Zidane na Bale Huenda Ukashusha Thamani Zao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mgogoro unaoendelea kati ya Meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane na mchezaji wake Gareth Bale umeelezwa kuwa unaidumisha thamani ya nyota huyo.

Zidane hivi karibuni aliripotiwa akimwambia mchezaji wake kuwa haitajiki ndani ya klabu hiyo na anapaswa kuondoka kwani hana nafasi.

Rais wa Madrid, Florentino Perez imeripotiwa hakuwa na furaha kwani hapendi kuona migogoro ndani ya timu hiyo kwa kuwa anaamini itashusha thamani ya mchezaji wake na suala zima la kumpeleka nchini China linatazamiwa kuwa la malipo ya kodi nyingi.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad