Msanii Jay Z ageukia biashara ya bangi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamuziki kutokea Marekani, Shawn Carter maarufu kama Jay Z Jay Z inadaiwa yupo mbioni kuingia makubaliano yakibiashara na kampuni ya California Cannabis Product ambayo ndio wazalishaji na wasabambazaji wa bangi katika nchi zilizohalalisha matumizi ya bangi ikiwa ni mpango wake wakuendelea kuwekeza ili aweze kutengeneza fedha zaidi.

Kwa mujibu wa mtandao wa Culture umeripoti kuwa msanii huyo anataka kutengeneza ajira nyingi zaidi kadri awezavyo ili jamii yake iweze kujinasua kutoka kwenye hali ngumu yakimaisha.

Ikumbukwe mapema mwezi Juni mwaka huu, Jay Z alitajwa na Jarida la Forbs kama msanii wa kwanza wa Hip Hop kuwa Bilionea, akiwa na utajiri wa $1 Bilioni (sawa na Tsh. Trilioni 2.2).

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad