Mwanamuziki Harmonize Ataki MCHEZO, Amempa Zawadi ya Gari Mwanamuziki Q Chief.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



By Nasra Abdallah
Dar es Salaam. Msanii kutoka lebo ya WCB, Harmonize amempa zawadi ya gari Toyota Porte mwanamuziki Q Chief.

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Julai 22, 2019 Harmonize amesema ameguswa na maisha anayoishi Q Chief kwa sasa na kuona ana kila sababu ya kusaidiwa ikiwemo kuwa na usafiri.

Harmonize alisema hata leo alipokuwa akienda katika mkutano huo uliofanyika hoteli ya Hyatt Regency, alitumia usafiri wa bodaboda na kumuomba amlipie atakopofika jambo lilimuumiza moyo.

Msanii huyo mkali wa kibao cha Niteke, Never give up, alienda mbali zaidi na kueleza kuwa Q.Chief amekuwa kati ya msanii aliyemvutia kuingia kwenye muziki na kueleza siyo yeye tu wapi na wasanii wengine wakubwa waliong'aa kupitia yeye.

"Leo mpaka unaona wasanii wanaendesha magari, wanamiliki majumba kutokana na muziki na moja ya watu waliowavutia na walikuwa wakicopy nyimbo zao ni pamoja na Q.Chief na mimi nilikuwa mmoja wapo niliyekuwa nikiandika hadi kwenye daftari," alisema Konde Boy.

Mbali ya kumpa gari pia wametegeneza nyimbo tatu pamoja ambazo zinaachiwa leo saa 1:00 jioni na kuomba jamii impokee.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad