Niliparamia Sana We ila Tanasha Ameniweza- Daimond

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amewashauri vijana kutulia na wapenzi wao ili kujiepusha na maradhi ya UKIMWI kwani vijana ndio nguvu kazi ya Taifa.



Akiongea na Wasandishi wa habari jana mkoani Tabora, Diamond amesema kuwa enzi za nyuma alikuwa na wanawake wengi lakini kwa sasa ameamua kuishi na Tanasha tu.

Diamond alikuwa mkoani Tabora kwenye tamasha la Wasafi Festival 2019 ambalo linadhaminiwa na tume ya kudhibiti Ukimwi nchini, TACAIDS.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad