AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo ameyabainisha leo Julai 22, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar Es Salaam.
Kubenea amesema kuwa lazima faragha za watu ziheshimiwe, kwa sababu nchi hii inawatu wengi wakiwemo mabalozi wanaowakilisha nchi mbalimbali hali anayodai huenda ikaweza kuiingiza TCRA katika mgogoro wa kufungiwa na shirika la mawasiliano la kimataifa.
''TCRA itoe taarifa sahihi juu ya nani aliyefanya kazi hiyo, kama Kinana na Nape amerekodiwa nani ana uhakika kama balozi wa Marekani hajarekodiwa, balozi wa Uingereza hajarekodiwa, viongozi wetu wa vyombo vikubwa hawajarekodiwa, kama wamerekodiana wenyewe kwa wenyewe sisi vipi, wengine vipi, tuache huu utamaduni'' amesema Kubenea.
Aidha Kubenea ameongeza kuwa, kuna baadhi ya sauti zinazosadikikia ni za Makamba akiongea na January, hivyo TCRA inalojambo la kueleza ni nani anayefanyakazi ya kuwarekodi na hofu yake ni kwamba watu hawa wameanza kufuatiliwa muda mrefu, na vipi zikivuja sauti zinazoonyesha wanaongea na nyumba ndogo, inaweza kuleta mtafaruku katika familia zao.
''Wale wanaorekodi hawaedit, wanaedit wanavovitaka wao pengine kuna mengine mazuri tu yakutaka kumshauri Rais, kama wanataka basi waachie vyote tusikilize siku nzima, watu wanafaragha na ni lazima faragha zilindwe sio vitu vinatolewa tu part 1, 2,3,5 imekuwa kama movie sasa''. amesema Kubenea.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kweli wewe ni Saidi kubenea.
ReplyDeletemie nilifikiri utauliza ya kwako iiyevuja huko chamaani kwenu.
wewe unataka haya ya wasaliti wa chama kingine.
Nakushauri ngoma hii mwachie acheze mwenyewe Unaijua SINDIMBA...!!!
usipigwe Mtama chali..imevujaaaaaa!
Kweli wewe ni Saidi kubenea.
ReplyDeletemie nilifikiri utauliza ya kwako iiyevuja huko chamaani kwenu.
wewe unataka haya ya wasaliti wa chama kingine.
Nakushauri ngoma hii mwachie acheze mwenyewe Unaijua SINDIMBA...!!!
usipigwe Mtama chali..imevujaaaaaa!