AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakili Muzi Sikhakhane ameaiambia tume hiyo ya uchunguzi mapema leo hawataendelea kushiriki vikao vya uchunguzi, kwani Zuma amekuwa muhanga wa maswali ya kuchafua na kuudhi.
Zuma alikuwa anatarajiwa kurejea katika uchunguzi wa serikali kuhusiana na rushwa leo Ijumaa, akiwa tayari ameshahudhuria mahojiano hayo katika siku tatu za kutoa ushahidi katika uchunguzi huo wiki hii, kabla ya mawakili wake kuomba kuahirishwa kwa mahojiano hayo.
Uchunguzi huo, ambao Zuma alikubali kuunda katika wiki za mwisho za utawala wake, unaangazia madai ya ufisadi pamoja na matumizi ya ushawishi ambayo yalikuwapo katika utawala wake wote wa miaka tisa madarakani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK