Auawa kwa Kuchomwa Moto Baada ya Kumuua Mkewe!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wananchi wenye hasira kali wamemuua kisha kumchoma moto Juma Lugomba(61), mkazi wa Kijiji cha Chiwata Kata ya Chiwata Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara, baada ya Juma kudaiwa kumshambulia mkewe kwa shoka na kumuua.

Tukio la kumuua mkewe liliamsha hasira za wakazi wa eneo hilo na kuamua kuchukua sheria mkononi na hatimaye kumpiga na kisha kumchoma moto.

Bado haijawekwa wazi sababu hasa za marehemu huyo kufikia hatua ya kumuua mkewe.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad