AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wananchi wenye hasira kali wamemuua kisha kumchoma moto Juma Lugomba(61), mkazi wa Kijiji cha Chiwata Kata ya Chiwata Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara, baada ya Juma kudaiwa kumshambulia mkewe kwa shoka na kumuua.
Tukio la kumuua mkewe liliamsha hasira za wakazi wa eneo hilo na kuamua kuchukua sheria mkononi na hatimaye kumpiga na kisha kumchoma moto.
Bado haijawekwa wazi sababu hasa za marehemu huyo kufikia hatua ya kumuua mkewe.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK