Dullah Mbabe Ashinda Ubingwa wa Dunia kwa TKO China

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi ‘Dullah Mbabe’ jana mchana alifanikiwa kumchapa kwa TKO ya raundi ya 3, Zulipiker Maimaitiali raia wa China na kushinda ubingwa wa Dunia wa bara la Asia ‘WBOAP’ uzito wa kati.

Katika pambano hilo ambalo limefanyika kwenye ukumbi wa TSSG, Qingdao, China ambalo lilikuwa la raundi kumi, Mbabe amefanikiwa kushinda katika raundi ya tatu kwa TKO.

Mbabe ameshinda pambano hilo ambalo limechezeshwa na mwamuzi wa kati, Sawaeng Thaweekoon huku majaji wakiwa Edward Ligas, Surat Soikraching na Mekin Sumon.

Mbabe ameliambia Championi Jumamosi kuwa: “Nimefanikiwa kushinda ubingwa wa Dunia huku China, namshukuru Mungu, naomba Watanzania wafike kwa wingi uwanja aa Ndege siku ya Jumatatu kuchukua ubingwa ambao wamenituma,”.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad