AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam na Balozi wa Uganda nchini, Richard Kabonero ambaye ameeleza kuwa Rais Museveni anatarajiwa kuwasili nchini Septemba 6, 2019.
Aidha, ameeleza kuwa kabla ya ziara hiyo kutakuwepo na ujio wa wafanyabiashara zaidi ya 300 kutoka nchini humo kuhudhuria jukwaa la biashara baina ya wawekezaji wa Tanzania na Uganda.
”Wiki ijayo kutakuwa na mkutano mkubwa hapa, Rais wetu atakutana na Rais mwenzake Rais Magufuli, kuhusu wafanyabiashara wa Tanzania na Uganda, tuko na Waganda kama 300 watakuja” amesema Balozi Kabonero.
Balozi Kabonero amesisitiza kuwa, majadiliano hayo ndiyo mwanzo wa mkakati wa ushirikiano wa kuboresha mahusiano ya kimaendeleo, katika sekta mbalimbali ikiwemo usafiri wa anga.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK