AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Makombora hayo yameanguka katika pwani ya bahari mashariki mwa nchi hiyo. Katika taarifa Wizara ya mambo ya nje ya Korea Kaskazini imesema luteka za pamoja za kijeshi kati yake na Marekani zilianza hapo jana.
Taarifa hiyo imezidi kusema kuwa luteka hizo ni muhimu kwa Korea Kaskazini kwani ilihitajika kutengeneza, kufanya majaribio na kuweka silaha hizo kwa ajili ya ulinzi wa kitaifa.
Korea Kaskazini tayari ilifanya majaribio ya makombora mawili wiki moja iliyopita.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK