AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Samatta ameonesha makali yake baada ya kufanikisha ushindi wa goli 1-0 alilolifunga dakika ya 54 kwa assist nzuri kutoka kwa Junya Ito na kuzibakisha point tatu nyumbani.
Uwepo wa mastaa waliowahi kucheza katika Ligi Kuu England kama Samir Nasri na Vincent Kompany wameshindwa kuisaidia timu ipate ushindi wake wa kwanza msimu huu, hiko ni kipigo cha tatu cha Anderletch msimu huu kati ya michezo mitano na akipata sare mbili.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK