Mbwana Samatta kawakalisha Anderletch ya Nasri na Kompany

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta akiwa na club yake ya KRC Genk ya Ubelgiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Ubelgiji dhidi ya Anderletch katika uwanja wa Luminus.

Samatta ameonesha makali yake baada ya kufanikisha ushindi wa goli 1-0 alilolifunga dakika ya 54 kwa assist nzuri kutoka kwa Junya Ito na kuzibakisha point tatu nyumbani.

Uwepo wa mastaa waliowahi kucheza katika Ligi Kuu England kama Samir Nasri na Vincent Kompany wameshindwa kuisaidia timu ipate ushindi wake wa kwanza msimu huu, hiko ni kipigo cha tatu cha Anderletch msimu huu kati ya michezo mitano na akipata sare mbili.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad