AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ametoa agizo hilo Agosti 23 wakati akizungumza na wananchi katika Mkutano wa hadhara, uliofanyika kwenye kijiji cha Rutamba akiwa katika ziara yake ya kikazi ya kukagua shughuli za maendeleo na huduma za jamii mkoani Lindi.
Kwa mujibu wa Mhandisi wa Maji wa Wilaya ya Lindi amesema kuwa mradi wa kata hiyo unakabiliwa na tatizo la uchakavu wa miundombinu na ukarabati wake unahitaji bajeti ya sh. milioni 75, ambazo wameziomba kutoka Wizara ya Maji.
”Miradi yote ambayo gharama zake ziko chini ya sh. milioni 100 inatakiwa itekelezwe kwa kutumia fedha za ndani ya halmashauri husika, miundombinu hiyo ilitakiwa iwe imebadilishwa, mradi wa sh. milioni 75 unaomba fedha wizarani? huu ni uvivu,” amesema Majaliwa.
Waziri Mkuu amesema suala la huduma ya maji limewekewa msisitizo na Rais Dkt. John Magufuli kwa kuanzisha kampeni ya kumtua mama ndoo kichwani, inayolenga kuwawezesha wananchi kupata maji safi na salama karibu na makazi yao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK