Mlipuko Wauwa Watu 17 Mjini Cairo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wizara ya afya ya Misri imesema mapema leo kuwa watu kumi na saba wamefariki dunia na wengine thelathini na mbili kujeruhiwa baada ya kutokea kwa mripuko nje ya Taasisi ya Kitaifa ya Saratani katikati mwa mji wa Cairo.

Kulingana na taarifa ya wizara ya Ulinzi ya Misri gari moja lililokuwa linaendeshwa kinyume ya jinsi magari mengine yanavyokwenda liligongana na magari mengine matatu na kusababisha mripuko huo.

Kiongozi wa mashtaka ya umma wa Misri ameliambia shirika la habari la Reuters kuwa anachunguza chanzo cha tukio hilo. Hakujatolewa taarifa rasmi lakini inayoonyesha kwamba tukio hilo lilikuwa ni shambulizi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad