AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kulingana na taarifa ya wizara ya Ulinzi ya Misri gari moja lililokuwa linaendeshwa kinyume ya jinsi magari mengine yanavyokwenda liligongana na magari mengine matatu na kusababisha mripuko huo.
Kiongozi wa mashtaka ya umma wa Misri ameliambia shirika la habari la Reuters kuwa anachunguza chanzo cha tukio hilo. Hakujatolewa taarifa rasmi lakini inayoonyesha kwamba tukio hilo lilikuwa ni shambulizi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK