Wanaolilia upinzani ufe Tanzania wafikiri upya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


By Luqman Maloto
Juni mwaka jana, raia wa Marekani ambaye ni mchambuzi wa siasa na masuala ugaidi, Malcolm Nance alitoa kitabu chenye jina “The Plot to Destroy Democracy”, yaani mpango wa kuua demokrasia.

Katika kitabu hicho, Nance anasema Vladimir Putin, ndiye Rais wa kwanza wa Urusi kuwa Rais wa Marekani.

Anaeleza kuwa urais wa Putin katika nchi hiyo yenye nguvu kubwa kiuchumi upo kwa Donald Trump alipomsaidia kwa kudukua mchakato wa uchaguzi mwaka 2016.

Nance anaeleza kuwa baada ya Trump kushinda, Putin ndiye amekuwa Rais wa Marekani, maana anafuata matendo na nyendo za rais huyo wa Urusi.

Kwamba mpango wa Putin kumsaidia Trump ulikuwa wa kuvuruga demokrasia ya Marekani.

Ndani ya kitabu hicho, mwandishi anatoa maonyo mbalimbali kuhusu matendo ya kuua demokrasia akisema linaonekana ni jambo rahisi, lakini ni mchakato wa kuijenga upya ni mrefu na mgumu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad