Wolper Ahofia Kupigwa Juju

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

BAADA ya kuonekana akiongea bila breki, staa wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper amesema siku hizi anaona mdomo wake hauna staa mpaka anahisi utapigwa juju. 

Akizungumza na Za Motomoto ya Risasi, Wolper alisema anajishangaa kwa nini siku hizi akipewa kipaza sauti maneno yanatoka bila hata kupiga kituo.

“Unajua baada ya kumaliza kuongea siku zote nikisikiliza najiuliza mdomo wangu una nini, ingawaje nakuwa katika hayo maneno nimeongea ukweli kabisa, inafika wakati mpaka nawaza watakuja kuupiga juju uende upande,” alisema Wolper
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad