AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga juzi ililazimishwa sare ya bao 1-1 na Zesco ya Zambia kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika na wanatarajia kurudiana nao Septemba 27.
Akizungumza na Championi Jumatatu, Julio alisema kuwa kwa sasa wachezaji wa Yanga baada ya kupata sare, hawapaswi kupaniki bali washushe presha ili kuwa katika ubora wao.
“Mpira una matokeo ya kikatili, kupata sare wao siyo wa kwanza na wanaweza kupindua meza kibabe endapo watatulia na kushusha presha ambazo wanazo kwa sasa.
“Makosa madogomadogo ambayo wameyaonyesha ni muda wa kuyafanyia kazi na ninaamini watafanya makubwa na kuushangaza ulimwengu, nafasi bado wanayo,” alisema Julio.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK