Makahaba 4 Jela Miezi 6 na Viboko 3 vya Nguvu...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wanawake wanne ambao wanajihusisha na Ukaaba na Mwanaume Mmoja ambae anadaiwa kuwa Mteja wao wamehukumiwa kifungo cha miezi sita Jela na mahakama ya mwanzo Makole, Mkoani Dodoma pamoja na kuchapwa viboko vitatu kila mmoja wakati wanaingia jela.

Hukumu hiyo inatolewa baada ya jeshi la Polisi Mkoani Dodoma kuendelea na msako wa kuwakamata Wanawake wanaodaiwa kuwa Makahaba katika maeneo mbalimbali Mkoani hapo ambao wanafanya kazi ya kuuza mili yao kama sehemu ya kujiingizia kipato.

Akizungumza na waandishi wa habari jana kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma, Gilles Muruto alisema Msako wa wakina dada ambao wanauza mili yao unaendelea na kuwataka wanaofanya biashara hiyo kuacha mara moja.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hapana si haki kufanya msako wa kukamata akina dada pekee. Bali msako wa haki ni ule wa kusaka wateja. Sheria ibadilike na zoezi la kusaka makamba liboreshwe na haki izingatiwe. Mbona rushwa imewezekana? Mitego ya rushwa naamini inaweza kutumika katika kusaka makahaba wake kwa waume bila kupendelea

    ReplyDelete

Top Post Ad