AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wadau Sijui haka Katabia ni Ugonjwa ama Kawaida, Nimekuwa Mtu wa Kupiga chabo sana yaani kabla sijaoa nilikuwa nakaa uswahilini sasa kule mabafu yapo nusu nusu na mengine ni mabafu ya magunia tu, sasa nilikuwa nakatabia kakupiga chabo wadada ama wamama wakiwa wanaoga , kwa sasa nimeoa nina mke na mtoto mmoja ila kale katabia ka kupiga chabo bado kananisumbua mpaka nikuwa namvizia mke wangu akiwa anaoga au akiwa amekaa kihasara nampiga chabo bila yeye kujua hapo napata raha na moyo kusuuzika...Nataka niache haka katabia nifanyaje?
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK