AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Prezzo ameteuliwa na Chama cha Wiper leo Jumanne Septemba 10, 2019, mbele ya kiongozi wa Chama hicho, Kalonzo Musyoka ambaye alishawahi kuwa makamu wa Rais wa Taifa hilo.
Taarifa hiyo imepokewa na kwa mikono miwili na Wakenya, Huku wengi wakimlinganisha na msanii mwenzie wa muziki, Jaguar ambaye yeye kwasasa ni Mbunge wa Jimbo la Starehe.
Kalonzo anaamini kuwa kutokana na ukumbwa wa Prezzo, Anauwezo mkubwa wa kuchukua jimbo hilo kwenye uchaguzi utakaofanyika Novemba 7 mwaka huu.
Prezzo atapambana na mwakilishi mwingine wa Chama cha ODM, Imran Okoth kwenye kinyang’anyiro cha kusaka ubunge kwenye jimbo hilo la Kibra.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK