Rubani wa Ndege ya Jeshi Ufaransa aangukia nyaya za Umeme

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ndege ya kijeshi iliyoanguka kaskazini magharibi
mwa Ufaransa, ilipekea rubani mmoja kuruka na kuangukia katika nyaya za umeme.

Baada ya ndege hiyo kupata hitilafu angani marubani wote waliruka katika ndege hiyo katika eneo la Brittany

Rubani aliyeangukia umeme, anaendelea vizuri na alinusurika kupigwa shoti ya umeme. Nyaya za umeme ambazo mtu yule aliziangukia zilikuwa na nguvu za volti 250,000

Vyombo vya habari vya Ufaransa vimeonyesha picha ya namna parachuti ilivyokuwa inashuka karibu na nyaya za umeme, huku ikielezwa kuwa Ndege hiyo ya jeshi inaripotiwa kuwa haikuwa imebeba silaha.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad