Tekashi 69 Amekiri Kutuma Wahuni Kumshambulia Mlinzi Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


RAPA kutoka pande za Marekani, Tekashi 69, amekiri kutuma kikosi cha wahuni 12 wa kundi lake la zamani la “Nine Trey Gang” na kuwalipa Dola 500 ili kumpora na kumpiga risasi aliyekuwa mlinzi wake  baada ya tukio la yeye kutekwa.

Tekashi alikiri kudanganya kuhusu baadhi ya yaliyotokea kwani alipigwa na kupoteza fahamu kipindi hayo yote yanatokea.

Hata hivyo Tekashi aliieleza mahakama kuwa baada ya kupona alimfuata meneja wake, Mel Murda, nyumbani kwake aliyemwambia mhusika mkuu wa tukio la yeye kutekwa ni Harv.

Tekashi aliongeza kuwa watu hao waliiba vito vyake vya thamani ya  Dola 365 na ujumbe mbalimbali mfupi wa simu zilionyesha wazi kuwa Harv alihitaji kuiba vito hvyo.

Yote hayo yalikuja baada ya ushahidi wa sauti na video zinazothibitisha Tekashi kutuma watu 12 kumdhuru Harv, baada ya Harv kuthibitika kushiriki katika kumpora na kumteka Tekashi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad