Samia Afunguka Kuzomewa kwa Rais Ramaphosa Mazishi ya Mugabe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema amefurahishwa na hotuba ya kuomba msamaha iliyotolewa na Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, baada ya wananchi wa Zimbabwe kumzomea wakati wa zoezi la kuaga mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe


Makamu wa Rais Samia Suluhu amesema hotuba ya Rais wa Afrika ya Kusini Ramaphoser aliyoitoa kwa wananchi wa Zimbabwe na Afrika kwa Ujumla, ni kitendo cha ungwana kwa kuweza kuomba samahani, kutokana na vitendo vinavyoendelea kufanywa wa wananchi wa Afrika Kusini.

"Nimefurahishwa sana na hotuba aliyoitoa Rais wa Ramaphosa kwa sababu alipoanza wananchi walikuwa wanamzomea sana, lakini aliomba samahani kwa Afrika na samahani kwa Zimbabwe na wananchi walimpenda sana." amesema Makamu wa Rais

Hafla ya kumuaga Mzee Mugabe imefanyika Kitaifa katika Uwanja wa Taifa wa Michezo Jijini Harare Nchini Zimbabwe ambapo Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Magufuli kwenye.
TAZAMA WIMBO MPYA WA ROSA REE

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad